Shakilah's Tales
By Shakilah Ochara
Shakilah's TalesAug 28, 2023
Kumbuka nyumbani....
#Shakilah'sTales
Hali ya elimu baada ya karo ya vyuo vikuu kuongezwa.
Let's talk Books.
#Shakilah'sTales
Maisha Baada ya Uchaguzi.
Success & Fulfilment.
Mwaka wa 2022 ukifika ukingoni,ni nini umejifunza?Je ulitimiza maazimio yako?
Between Thoughts 3
Bidhaa za GMO
#BetweenThoughts
MIKOSI YA MATOKEO YA URAIS
Safari ya kutafuta.
Baada ya dhiki huja faraja.
Umuhimu wa vijana kuanza kuwekeza.
Je ni sawa Mheshimiwa Raila Odinga kuamuru Alvin Chivondo kuachiliwa?
Mwanamke ni mtu......
#EndBias #WomensDay
#ShakilahsTales
WHY WE LISTEN TO SONGS AND WATCH MOVIES ON REPEAT
Many thanks to Derek Thompson the writer of the great article of "Why people watch shows and movies over and over" published by the Atlantic.
Unaposkiza kipindi hiki tafadhali usisahau kusubscribe pale spotify na kutoa maoni yako kuhusu mjadala huu.
#ShakilahsTales
#MwamkoMpya
MAISHA NA MIKOSI YAKE.
Kipindi hiki kinaangazia kisa cha aliyekuwa mtangazaji wa Switch TV Ouma Robert, baada ya kupoteza kazi na kile ambacho anafanya kwa sasa. Isitoshe, kimeangazia pia kisa cha Bi.Mandi na Gitobu. Skiza ili upate uhondo zaidi. Usisahau kusubscribe na kupitisha ujumbe upande ule mwingine.
#ShakilahsTales
#ShakilahOchara
Watoto na Urithi.....
Happy New year fam! Listen in to the podcast you missed. Blessed 2022!!
#ShakilahsTales
Uhusiano na wababa* si suluhisho ya shida zako;wosia kwa dada zangu.
Kipindi hiki kinalenga kina dada hasa wa chuo kikuu na wale ambao kidogo wanatafuta riziki. Si vibaya kukosa, ni vibaya kuwa na tamaa. Tamaa mara nyingi hutuingiza taabani elewa msimu ambao upo, huenda haujafika lakini ipo siku itajipa.
Skiza, toa maoni yako kwa njia ya arafa na usisahau kusubscribe.
#ShakilahsTales
Kila mtu ana changamoto hivo basi tusidunishane. #Safari
Kisa hiki,ni kisa cha wahusika tano ambao wanafasiri hali tofauti ya maisha. Ni vema kufahamu kuwa kama binadamu hatutoshani kile ambacho kinanisumbua huenda kwako si shida tuwe watu wa utu. Usinihukumu kwa kile ambacho kimenilemeza kwa sababu, huenda kinachokutatiza, dawa yake ninayo. Usisahau kusubscribe kwenye spotify na kupitisha ujumbe upande ule mwingine.
#ShakilahsTales
#MwamkoMpya
THE RACE IS DIFFERENT
Natumai kikosi kizima mko salama. Ni dhahiri kuwa kila siku tunathirika na misukumo ya maisha na wakati mwingine inaweza tuathiri tukapotea njia ama kujishuku kuwa maisha yako hayaendi sawa. Kumbuka maisha haya kila mmoja ana kitabu chake cha kuandika hivo basi usijipime na maisha ya mwenzio kwa sababu nyie wote ni watu wawili tofauti, wanaotoka mahali tofauti kabisa. Skiza kipindi hiki kupata bayana ya mambo,usisahau kupitisha ujumbe upande ule mwingine na kusubscribe. # ni ShakilahsTales.
#ITS THE LITTLE THINGS
It is the little things that make a difference, that move us closer to our dreams. Being Monday listen in to #MondayMotivation episode from ShakilahsTales and go and be better. Remember it is the little things.
#TheLittleThings
#ShakilahsTales
The 3rd Episode of the Journey
Hi guys listen up to my 3rd Episode of the Journey. Make sure u listen to part one and two to follow and Don't forget to share subscribe and hellooo say your story I would be happy to host you.
#ShakilahsTales
#TheJourney
The 2nd Part of the Journey.
Hi people, listen in to the 2nd part of my journey. In this journey of life we encounter a lot that either teach, harden us or put us down. Listen in to find out more dont forget to subscribe.
#ShakilahsTales
The price that comes with being part of the Romans.....
They say when you go to Rome do what Romans do. I did not know that sometimes actually doing what the Romans do is not that easy as the adage goes. Here is my story, the experience and price that you have to pay when you closing a business deal they say...... Listen in to this amazing story and subscribe to my podcast to get more life experiences.
#ShakilahsTales
Is it love or are we just entangled?
Do we get in a relationship for love or what the person brings on the table or are we just entangled? Let us find out in this episode.. Dont forget to drop in ur comments and share.
#ShakilahsTales
The Ugly side of adulting.
Hi guys, it has been a while! Here is a more personal story about me. the shift to responsibilities and how I switched to that life hehehe. We all go through stages and as a people it is important to be in the moment, learn and enjoy the privileges that come with every stage of life. Tap the link and listen to #MYJourney.
Subscribe!
Subscribe!
Subscribe on Spotify.
Janga lililosahaulika.
According to 2020 report by National Aids Control Council (Monday Report) more than 40 people between the ages of 15-24 years are infected with HIV/AIDS everyday. I did this episode after getting views from some of my listeners on the cause of the spread and how we can curb this long forgotten pandemic. Listen in,drop a comment,subscribe on spotify n support this podcast. Thanks.
#TheLongForgottenPandemic
#ShakilahsTales
Facebook love relationships troubles.
Most people who meet up on Facebook for the first time end up lost or found dead. This was stated by one of Shakilah's Tales follower; who suggested that we should talk about it so that girls wont be easily lured by strangers online to meet them physically and later on get lost in thin air. Let's be cautious the #Shakilah'sTales . What are your thoughts about the same?
Disconnect between parenting and responsibility
Kipindi hiki kinagusia nafasi iliyoko kati ya wazazi wa kisasa na wana wao. Matukio mengi yametukia kwa sababu kama wazazi tumesahau majukumu yetu kama wazazi na kuegemea upande moja tu ambayo ni kutafuta riziki. Sikatai! Kutafuta riziki yao haina shida, shida inatokea tu, wakati ambapo sisi wazazi hatutengi wakati kuwakuza na kuwajua watoto wetu fika. Visa vingi vimetukia kama watoto wa umri mdogo kujitoa uhai,mimba ya umri mdogo,kutojitambua fika kwa sababu hawajui watawaelezea nani na kila wakati wazazi wanatafuta. Kipindi hiki kinaegemea kuwakumbusheni wazazi majukumu yao. #Shakilahstales.
Are Boys raised to be men?
This episode is based on a talk by my male friends; whether they were actually taught to be men or the society presumed their duties as men.It is a heated topic listen in and share your views. What do you think do we prepare our boys to be men or we expect them to man up without taking them through the process.....
#AreBoysRaisedToBeMen
#ShakilahsTales
Je, utakulia kivulini na uamuzi unaofanya sasa ama juani?
Uamuzi tunaofanya leo utatuathiri pakubwa katika maisha ya usoni. Kila unapofanya uamuzi kumbuka unatengeneza njia ya hapo mbeleni. Kipindi hiki kianelezea zaidi kuhusu maamuzi, uvumilivu na mwishowe mavuno. Sikiza kwa makini.
#ShakilahsTales
#Mafanikio
#Uvumilivu
Mama amekufanyia nini?
We all go through bullying at some point and if not for our parents especially our mothers we couldn't fight the demons inflicted on us. This episode is based on my experience during my school years maybe you out there trying to fix yourself Don't! Just know you are beautiful the way you are. I want to thank all mothers out there for raising our self esteem especially my mama who made me understand that I am okay and beautiful being tall. Listen in for more and drop a comment what ur mother did or impacted that u stood the test of time.
#MothersDay
#ShakilahsTales
Effects of Climate change in Kenya
Effects of climate change in Kenya
Maisha, Changamoto na Kufanikiwa........
Hello listeners, life has it's ups and downs but we are the authors of our lives as you write that book ask yourself, would you be in a position to narrate about it or you wouldn't. Here is the episode full of unanswered questions, aspirations and hope. Listen in.
#ShakilahTales
JIREH IS ENOUGH
This episode is inspired by the song Jireh sang by Maverick city featuring Chandler Moore.As we start this week let us keep in mind that Jireh will always provide that maybe we going through challenging times that we cant explain but He is still God. Let us keep our hope in Christ and trust his word. Amen!
#MaverickCity
#Jireh
#ShakilahOchara
Tujifunze Kiswahili awamu ya pili
Mko salama? Kipindi hiki kinaendeleza Tujifunze Kiswahili awamu ya kwanza ambayo nilifanya wiki iliyopita. #Tuendelee kujuzana.
This episode is a continuation of Tujifunze Kiswahili part one let us learn and explore.
#ShakilahOchara
#MwamkoMpya
#ShakilahAkinyi
Tujifunze Kiswahili
Ni matumaini yangu kuwa nyote mko salama. Kipindi hiki nazungumzia maneno ambayo ni nadra kutumia katika mawasiliano na ningependa wote tujifunze na tuanze kutumia maneno hayo katika mazungumzo. Ahsante.
#ShakilahOchara
#ShakilahAkinyi
#MwamkoMpya
"Give me a chance" A cry for help....
This episode speaks about youth unemployment and the challenges they underwent in search of a job.
Comment on the record icon and follow Shakilah's Tales on Facebook page and engage.
#YouthUnemployment
Women's Day
Happy International women's Day to all women in the World continue being phenomenal. Hey guys, listen in to yet another wonderful episode. Spread the love to all women by letting them listen to this amazing episode.
#InternationalWomensDay
#ShakilahsTales
#MwamkoMpya.
What if Steve Harvey had given up?
We all go through challenges but it is up to you to make a difference with your life. You either choose to bow to peoples' opinion of you or brace up and be more. Listen in to this amazing episode don't forget to record your views on the same.
@SteveHarvey
#ShakilahOchara
#Mwamko Mpya
#ShakilahAkinyi
When we were kids.......
let's flashback on how we used to do things and what we were told. Has everything actualized? Lets find out on this episode on Shakilah's Tales.
What are your thoughts? Don't forget to record a message on what you would wish to listen in the next episode.
Hali tofauti katika magari mjini Nairobi
This episode speaks length about how different environments affects people. Listen in and do record your thoughts.
#ShakilahOchara
#MwamkoMpya
#NyarHomabay
Tuchunguze maadili yetu.
Hi guys its your girl Shakilah Ochara with another deeper topic. What are your thoughts about the same? Lets talk.
#Shakilah'sTales
#MwamkoMpya
#NyarHomabay.
Amanda Gorman's poem
Our 2nd episode speaks length about Amanda Gorman's poem.The past,the future and the current. I have done it in Swahili listen in,leave a message and tap the favorite button. Thank you as we take this discussion to the next level.
Shakilah's Tales Intro
Hi, everyone this is an intro of what ill be doing. It will be an interactive session,