Skip to main content
99.9 GHETTO FM

99.9 GHETTO FM

By GHETTO FM

An amplified voice for the voiceless
Available on
Google Podcasts Logo
Pocket Casts Logo
RadioPublic Logo
Spotify Logo
Currently playing episode

Haki ya akina mama kuridhi mali

99.9 GHETTO FM Jun 07, 2021

00:00
17:53
KINA MAMA WAJAWAZITO WA MUKURU KWA RUBEN WATATIZIKA WAKATI WA KUJIFUNGUA KWENYE GIZA BAADA YA KENYA POWER KUONDOA UMEME KATIKA MAENEO HAYO

KINA MAMA WAJAWAZITO WA MUKURU KWA RUBEN WATATIZIKA WAKATI WA KUJIFUNGUA KWENYE GIZA BAADA YA KENYA POWER KUONDOA UMEME KATIKA MAENEO HAYO

WENGI WA AKINA MAMA WAJAWAZITO MUKURU KWA RUBEN WAPATA TAABU KWENYE LEBA KATIKA GIZA

Jan 08, 202404:21
UGAVI WA BASARY KATIKA VITONGJI VYA NAIROBI HAUWAFIKII WALE WANAFUNZI WANAOFAA  NA WASIOJIWEZA

UGAVI WA BASARY KATIKA VITONGJI VYA NAIROBI HAUWAFIKII WALE WANAFUNZI WANAOFAA NA WASIOJIWEZA

WANAFUNZI WASIOJIWEZA WATAMBULIKE NA WAPATE MSAADA WA KUSIMAMIA MASOMA YAANI BURSERY

Jan 08, 202404:15
WANAFUNZI WA VITONGOJI DUNI HAWAFANYI SAWIA NA WALE WA SHULE ZA MAENEO MAZURI HUKU WALIMU WAKIAMUA KUUNGANA PAMOJA

WANAFUNZI WA VITONGOJI DUNI HAWAFANYI SAWIA NA WALE WA SHULE ZA MAENEO MAZURI HUKU WALIMU WAKIAMUA KUUNGANA PAMOJA

WALIMU WA SHULE ZA GHETTO NA SHULE ZA MAENEO MAZURI WAUNGANA KUZIBA PENGO ZA UTOFAUTI ULIOKO

Jan 08, 202404:53
WAKAAZI WA VIJIJI VYA NAIROBI WAGEUKIA MATIBABU YA KIENYEJI KUTOKANA NA UGUMU WA KULIPIA NHIF.

WAKAAZI WA VIJIJI VYA NAIROBI WAGEUKIA MATIBABU YA KIENYEJI KUTOKANA NA UGUMU WA KULIPIA NHIF.

Asilimia kubwa ya wakaazi wa vitongoji vya Nairobi hawawezi kujimudu kimatibabu sasa wageukia kienyeji

Jan 08, 202412:34
INCLUSION OF PWDS IN BUDGET PROCESSING

INCLUSION OF PWDS IN BUDGET PROCESSING

Many PWDs are complaining that they are not included in Budget processing hence urging the government to include them

Nov 09, 202311:00
NAIROBI ADP REVIEWED BY IBP

NAIROBI ADP REVIEWED BY IBP

NAIROBI ANNUAL DEVELOPMENT PLAN IS OUT AND REVIEWED BY THE NAIROBI BUDGET FACILITATORS AND CHAMPIONS.

Sep 16, 202305:56
TABIA NCHI YATOKA MASHINANI HADI KWENYE VICHWA VYA HABARI

TABIA NCHI YATOKA MASHINANI HADI KWENYE VICHWA VYA HABARI

Climate change is everyones concern including women who are most affected.

Sep 07, 202308:54
COVID 19 VACCINATION

COVID 19 VACCINATION

PATACHANJOUWECHONJO

Apr 05, 202351:47
TUNZA MAZINGIRA

TUNZA MAZINGIRA

Ni jukumu la kila mmoja kuakikisha kuwa anatunza mazingira.

Mar 10, 202317:12
CLAIM THAT TURKANA SOUTH MP's GOVERNMENT VEHICLE WAS CAUGHT WITH FIREARMS IS MISLEADING
Feb 24, 202301:35
Senator Ledam Olekina`s Claim that if one borrows Kshs.500 from Hustler Fund they will pay back Kshs.547.50 on the 15th Day is Misleading
Feb 11, 202301:37
KALONZO'S POST ON TWEETER NOT TO BE PART OF AZIMIO IS FALSE

KALONZO'S POST ON TWEETER NOT TO BE PART OF AZIMIO IS FALSE

A digital card shared by Kakamega County Senator, Boni Khalwale, bearing the branding of Kenyan news outlet NTV, claiming that Wiper Party leader, Kalonzo Musyoka, will no longer attend Azimio rallies, is fake.

Khalwale shared the poster via his Twitter account on 27 January 2023.

Feb 11, 202300:53
THE VIDEO THAT WAS GOING VIRAL ON SOCIAL MEDIA SHOWING AMAN BEING ROBBED IN THE STREETS OF NAIROBI IS FALSE

THE VIDEO THAT WAS GOING VIRAL ON SOCIAL MEDIA SHOWING AMAN BEING ROBBED IN THE STREETS OF NAIROBI IS FALSE

Pesa check has looked in to the claim and report that  the act is not in Kenya  

Jan 19, 202302:01
CLAIM THAT OVER 40MILL1ION `VOTED AGAINST PRESIDENT  RUTO DURING GENERAL ELLECTION IS FALSE

CLAIM THAT OVER 40MILL1ION `VOTED AGAINST PRESIDENT RUTO DURING GENERAL ELLECTION IS FALSE


Pesa check has looked in to this claim and report that this claim is false
Jan 19, 202301:21
Claim on cost of living is dropping by Nandi Senator was misleading

Claim on cost of living is dropping by Nandi Senator was misleading

Pesa check has found out that the claim was false and that this was when some few supermarkets  had promotions on their goods.

Jan 19, 202301:33
WANAWAKE WADHULUMIWA MAJENGO KUTOKANA NA MILA NA DESTURI KALI

WANAWAKE WADHULUMIWA MAJENGO KUTOKANA NA MILA NA DESTURI KALI

Chanzo kuu cha dhulma ya kijinsia eneo la majengo hapa Nairobi ni mila na itikadi kali. Unafikiri  serikali inaweza fanya nini ili kuondoa baadhi ya mila na itikadi kali?

Dec 21, 202210:55
MAISHA YA UGAIBUNI

MAISHA YA UGAIBUNI

Pesa zipo ila changamoto sii haba

Sep 28, 202207:18
UPEKUZI WA WABAKAJI

UPEKUZI WA WABAKAJI

Its hightime as a country to hold hands together to stop rape cases among our young girls and push the agenda of finding justice to the victims even when the perpetrators think they will go free and continue threatening the victims. We call upon the government to act promptly to these isseus to save the lives of our girls.#justicebeourshelderdefender. 

Sep 21, 202213:44
MASOMO YA KUPANGA UZAZI SHULENI ENEO LA MUKURU KWANJENGA

MASOMO YA KUPANGA UZAZI SHULENI ENEO LA MUKURU KWANJENGA

Swala la kupanga uzazi  kwa watoto  wa kike walioshuleni   linafaa kutiliwa maanani ili kuzuia uja uzito wa mapema

Sep 16, 202214:30
FORCED BEGGING ON WOMEN LIVING WITH DISABILITIES

FORCED BEGGING ON WOMEN LIVING WITH DISABILITIES

Most disabled women who beg in town are foreigners from neighboring countries, it has been revealed  that these women are employed with other some wealth  people 

Aug 20, 202221:14
FWATAMKWANJA MTAANI

FWATAMKWANJA MTAANI

Waakazi wa eneo la mukuru kwa njenga wanaiomba serikali kuwajumuisha  katika ugavi wa pesa zozote zinazotolewa ili kuwafikia watu wanaonuiwa

Jun 30, 202205:38
MAISHA YA UGAIBUNI[LIFE IN GULF]

MAISHA YA UGAIBUNI[LIFE IN GULF]

Maisha ya ugaibuni yanaonekana magumu kwa baadhi ya akina dada wengi wakiteswa ila wengi wanaishi raha mustarehe

Jun 25, 202207:18
DHULMA YA KIJINSIA KWENYE KAMPENI

DHULMA YA KIJINSIA KWENYE KAMPENI

Kina mama wengi wanapitia dhulma za kijinsia haswa wakati huu wa kampeni unafikiri ni mbinu gani tunaweza tumia ili kupunguza swala hili.

Jun 04, 202209:38
NAIROBI COUNTY TRANSPARENCY SURVEY, WHY DID WE SCORE 56 POINTS ?

NAIROBI COUNTY TRANSPARENCY SURVEY, WHY DID WE SCORE 56 POINTS ?

Nairobi county has improved in terms county budget transparency, , Its among the top 9 counties that did better.But the question remains what do you think should be done?

May 30, 202254:06
BAJETI YA KILIO YA 2022-2023

BAJETI YA KILIO YA 2022-2023

Bajeti isiyo yakawaida 

Apr 08, 202209:42
SHEREHE YA KILIO KWA AKINA MAMA

SHEREHE YA KILIO KWA AKINA MAMA

Licha ya taifa kusherekea siku kuu ya akina mama duniani  wengi wao wanaendelea kupaza sauti za kutafuta haki zao.

Mar 09, 202207:35
WANAWAKE TUONDOE DHANA KUWA MWANAMKE NI ADUI WA MWANAMKE MWENZAKE NA TUUNGANE MIKONO KATIKA UONGOZI.

WANAWAKE TUONDOE DHANA KUWA MWANAMKE NI ADUI WA MWANAMKE MWENZAKE NA TUUNGANE MIKONO KATIKA UONGOZI.

Swala la mwanamke ni adui wa mwanamke mwenzie limekuwa likijadiliwa vijijini na wengi wanadokeza kuwa wanawake wengi hawana uroho wa kuungana mikono katika uongozi aidha wengi wanapuuzilia mbali dhana hii na kutoa kauli ya kuungana mikono kama wanawake.Kwenye makala haya nimeangazia maoni tofauti ya uongozi wa wanawake.

Mar 02, 202222:06
FOLLOW THE MONEY LAUNCH PHASE 2

FOLLOW THE MONEY LAUNCH PHASE 2

Follow the money project in kenya headed by Head of projects SIDAREC CENTER Eve Mathai   has done  so much on identifying and following the covid 19 funds that were released  by the govt, this was during the first phase. This time CTAP  headed by  Executive Director  Hamzat Lawal has launched the second phase of follow the money, this time with the aim of doing research on the issue of covid 19 vaccination and the whole state of Health in Kenya and in Africa at  large. 

Feb 26, 202210:43
CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAWAKE WANAOHUDUMU MAKANISANI

CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAWAKE WANAOHUDUMU MAKANISANI

Wanawake wanapitia changamoto sii haba wanapoendelea kueneza huduma wao makanisani.

Feb 16, 202206:24
CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAWAKE WA KIKE KATIKA HUDUMA KANISANI.

CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAWAKE WA KIKE KATIKA HUDUMA KANISANI.

Wanawake wanaendelea kupitia changamoto nyingi wanapoendelea kueneza neno la Mungu makanisani.

Feb 16, 202206:24
WORLD RADIO DAY [CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAHABARI WA KIKE ]

WORLD RADIO DAY [CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAHABARI WA KIKE ]

Hii leo Kenya imejumuika na mataifa mengine kusherekea siku kuu ya Radio nchini. Mada kuu ikiwa  uwaminifu kwa wanahabari wa  stasheni za kijamii,aidha taifa linaposherekea siku hii wanahabari wanaendelea kupitia changamoto sii haba.Karibu tuzijadili pamoja na tutafute suluhisho pamoja.

Feb 12, 202210:04
TUKOMESHE UKEKETAJI KWA WASICHANA WETU

TUKOMESHE UKEKETAJI KWA WASICHANA WETU

MILA ZA UKEKETAJI ZIMEWEZA KUWAATHIRI WASICHANA WENGI HUMU NCHINI NA HATA KUSABABISHA UNYANYAPAA MIONGONI MWAO.KAMA TAIFA NI WAJIBU WA KILA MMOJA KUSAHAU MILA ZA KITAMBO ZISIZO NA MISINGI YOYOTE.

Feb 09, 202204:19
UAVYAJI MIMBA BAINA YA WASICHANA WACHANGA

UAVYAJI MIMBA BAINA YA WASICHANA WACHANGA

Swala la uavyaji mimba linaendelea kukithiri mitaa zetu za mabanda kiini kikuu kikiwa mimba zisizotarajiwa.Unafikiri nini huchangia swala hili?

Feb 02, 202206:53
HOW CAN WE DO AWAY WITH GENDER BASED VIOLENCE ON YOUNG GIRLS AND CHILDREN

HOW CAN WE DO AWAY WITH GENDER BASED VIOLENCE ON YOUNG GIRLS AND CHILDREN

As Kenya gets into 16 days of activism  lets all join hands to stop Gender Based Violence to children and young girls and help needy families get justice.

Dec 02, 202101:28:36
STOP KILLING OUR WOMEN

STOP KILLING OUR WOMEN

As we enter into 16 days of activism against GBV lets join hands together to do awareness against the  killing women.Remember they are our mothers, sisters, lovers, wives and even our aunts,lets find a better way of finding solutions whenever there is a disagreement in a marriage or a relationship killing each other especially a man killing a woman is not the solution.  

Nov 17, 202101:08:38
CHAMUKO LA GHETTO FM MIDA YA SAA 1 USIKU TAREHE 2 MWEZI WA NOVEMBA

CHAMUKO LA GHETTO FM MIDA YA SAA 1 USIKU TAREHE 2 MWEZI WA NOVEMBA

Tume ya CRA imetoa ugavi wa raslimali kati ya serikali kuu na magatuzi.Hata hivo serikali za kaunti zimepata mgao wa bilioni 370 za mwaka wa kifedha 2022/2023.Haya yanajiri baada ya magavana na maseneta kutoa malalamishi kuwa kuwa kiasi hicho cha pesa ni kidogo kulingana na mipangilio yao ya kaunti.

Nov 02, 202114:09
WOMEN IN LEADERSHIP

WOMEN IN LEADERSHIP

Women can do better when given chance to lead for they have the nature of equal balancing and multitasking.

Nov 02, 202101:02:10
STRESS MANAGEMENT TO SINGLE MOTHERS RAISING DISABLED CHILDREN

STRESS MANAGEMENT TO SINGLE MOTHERS RAISING DISABLED CHILDREN

The research done by the Action the foundation  organisation partnering with the government shows that most  single mothers raising disabled children are suffering from stress after their husbands deny their responsibility, here we discuss on how such mothers can get help from their situation 

Oct 29, 202151:57
WOMEN IN LEADERSHIP

WOMEN IN LEADERSHIP

If women are given chance to lead they can do better for they have a natural way to multitask and treat people equally.Its hightime  for women to stood up and participate in any leadership chance that come a cross in the community.  

Oct 27, 202108:51
HOW TO OVERCOME DEPRESSION AMONG YOUNG PEOPLE

HOW TO OVERCOME DEPRESSION AMONG YOUNG PEOPLE

Depression has become  a big problem especially on young people, here we discuss causes and how someone can control depression

Oct 21, 202107:06
VIOLATION OF RIGHTS FOR YOUNG MEN AND WOMEN

VIOLATION OF RIGHTS FOR YOUNG MEN AND WOMEN

The rights of most people have been violated hence many of them does not know how to go about it to find justice, here we discuss some of rights that have been mostly violated

Oct 21, 202108:46
THIS IS NOT THE JOB I WANTED NOT THE ONE I APPLIED FOR

THIS IS NOT THE JOB I WANTED NOT THE ONE I APPLIED FOR

Have you ever find yourself  in  a situation that you have been given ajob that you didnt expect like ,,its not the real work you applied for. 

Oct 19, 202109:54
DO YOU THINK KENYA IS ON THE RIGHT TRACK  CONCERNING THE ISSUE OF ACHIEVING VISION 2030

DO YOU THINK KENYA IS ON THE RIGHT TRACK CONCERNING THE ISSUE OF ACHIEVING VISION 2030

President Uhuru Kenyatta has got the shortest time left in office to finish thw Big 4 agendas that is leading us towards achieving the vision 2030.Do you think we are on the right track.

Oct 19, 202112:41
NAFASI YA MZALIWA WA KWANZA KATIKA JAMII NI IPI

NAFASI YA MZALIWA WA KWANZA KATIKA JAMII NI IPI

Ni bayana kwamba  wazazi wengi huwalimbikizia wazaliwa wa kwanza majukumu mengi.Hapa tutajifunza nafasi ya watu hawa katika jamii 

Oct 19, 202109:50
URBAN FARMING CAN BE ONE OF THE WAY TO FIND SOLUTION ON SDGs number one Zero hunger

URBAN FARMING CAN BE ONE OF THE WAY TO FIND SOLUTION ON SDGs number one Zero hunger

We can fight hunger by practicing urban farming. You dont need  many acres of land for you to practice urban farming.This will make us achieve our right to food without depending on govt  

Oct 19, 202107:23
MEN TOO NEED TO BE EMPOWERED AS WOMEN

MEN TOO NEED TO BE EMPOWERED AS WOMEN

For sometimes now women have been  well empowered hence handling issues to them is no longer a problem.This has made a male child to remain behind in most decision making and many other ways to find solutions.They therefor plea with nun governmental organizations to consider empowering them as well.  

Oct 19, 202112:29
WALIOHITIMU WAJIBWAGA KWENYE BIASHARA

WALIOHITIMU WAJIBWAGA KWENYE BIASHARA

Ni nadra kwa muhitimu kupata nafasi ya kazi haraka pindi tu anapojinyakulia stakabadhi zake za chuo kikuu au hata cha kati hivyo basi wengi wa waliohitimu huamua kuingia katika biashara ili kuendelea kukimu mahitaji yao na hata kulipa mikopo waliochukua ili kulipa karo zao.

Oct 19, 202111:51
RIGHT TO FOOD TO WOMEN LIVING WITH DISABILITIES

RIGHT TO FOOD TO WOMEN LIVING WITH DISABILITIES

All Kenyans have the right to food though this has been a big problem to women living with disabilities since covid 19 stricked into our country.These women from Mukuru kwa njenga who are more than 30 are therefore pleading with the government or any other organisation to cheap in and assist them to meet their right of food.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Sep 30, 202104:48
HAKUNA KAZI YA MWANUME NA YA MWANAMKE KAZI NI KAZI

HAKUNA KAZI YA MWANUME NA YA MWANAMKE KAZI NI KAZI

WANAWAKE KATIKA JAMII WAMEWEZA KUBAGULIWA  KILA KUNAPOTOKEA NA NAFASI ZA AJIRA.MAKALA HAYA YANAANGAZIA WANAWAKE  HODARI AMBAO WANAPUUZILIA MBALI KAULI YA JAMII. 

Sep 24, 202107:56
LOW MILK BREASTFEEDING MOTHERS

LOW MILK BREASTFEEDING MOTHERS

Lactating mothers are going through hardship in feeding their young ones due to low milk flow supply hence due to this most mothers do not feed their children on milk only for 6 months as it is supposed to be according to the ministry of health.

Sep 24, 202108:35