Skip to main content
NMU PODCAST

NMU PODCAST

By martine

NMU PODCAST is a digital platform established essentially to present the themes in audio forms and make them available to all internet users either by downloading or listening to them online.
Together with other interesting stuffs NMU podcast presents amazing contents based on analysis and interviews about entertainments, relationships, lifestyles discoveries as well as history and biographies which are then published to all famous audio platforms including the Apps
You can easily access all what we release for you simply by liking and following us on our S/m media platforms @nextmusicuniverse
Available on
Apple Podcasts Logo
Google Podcasts Logo
Overcast Logo
Pocket Casts Logo
RadioPublic Logo
Spotify Logo
Currently playing episode

UNPACKING MENTORS AND BRAINSTORMING ON MUSIC INDUSTRY WITH LIGHTNESS & VAILETH

NMU PODCASTAug 29, 2020

00:00
47:51
KWANI NI LAZIMA KUJIBU KILA SWALI KWENYE INTERVIEW??

KWANI NI LAZIMA KUJIBU KILA SWALI KWENYE INTERVIEW??

   Katika pita pita Zetu kwenye mitandao ya kijamii Tumekutana na mjadara mzito kwenye moja ya page , ikiweza kusemea msanii ibraah kutoka konde gang, kuwa sio lazima saana kujibu kila maswali ambayo maybe anakuwa akihulizwa na waandishi au broga mbali mbali ,

Ishu imekuwa kwanza kijana amekuwa very flexible na ananyoosha saana mahelezo kwenye kujibu, na uzuri au ubaya hata akihulizwa maswali ambayo yanalenga upande wa pili ambapo kuna ushindani wake wa mziki yeye unyoosha either kwa kusifia au kwa kutolea ufafanuzi

Kupitia ilo tukaona je hii imekaaje kwenye ishu nzima ya msanii kama brand na kama bidhaa, je inamwalibia au, inamtengenezea njia nzuri ya kueleweka kwa mashabiki,

Hapa tunakupa faida na vijihasara ambavyo msanii anaweza kuvipata kupitia kujibu kila maswali kwenye interview.

Jun 17, 202123:20
MY KISARAWE EXPERIENCE (WITH ANTIDIUS MARTINE)

MY KISARAWE EXPERIENCE (WITH ANTIDIUS MARTINE)

Karibu tena kwenye episode nyingine ya NMU PODCAST, Kutana na mwanzirishi wa NMU PODCAST Mr Antidius martine)

Kila Mwanadamu kuna vitu anapenda katika maisha, wapo wanaopenda mziki, Movies , Mpira na mengine mengi, kwa Ujumla yote hayo tunayaweka kwanye kipengere cha lifestyle, Wengi wanasema namna ya kuishi au staili au mtindo wa maisha, jambo ambalo utofautiana kuringana na mtu husika kwenye maisha yake.

Kwenye Episode hii kutana na ANTIDIUS MARTINE ambaye kwa upnde wake anapenda sana kuangalia mazingira (adventure), kudurusu vitu vipya na kujifunza , kwenye episide hii ameshare nasi EXPERIENCE YAKE JUU YA SAFARI ALIYOIFANYA KWENDA SEHEMU MOJA WILAYA YA KISARAWE inayoitwa PUGU KAZIMZUMBWI.

Kupitia episode hii utaweza kujua mambo mengi ambayo yanapatikana Wlaya ya KISARAWE sehemu ya Ifadhi ya misitu lakini pia sehemu ya UTARII ambayo ata yeye alikuwa suprised saana kuikuta KISARAWE.

Miasha yana maajabu sana na katika maajabu hayo, maajabu mengine yanaweza kuliletea faida Nchi Husika, Nini sasa kinachopatikana Kisarawe kama maajabu? ........ Ungana na Mr Antidius Martine kwenye episode hii, MY KISARAWE EXPERIENCE upate kuyajua mengi yapatikanayo KISARAWE PUGU KAZI MZUMBWI NATURE RESERVE.
🏏Music background by STEKA. Podcaster Antidius Martine
Episode sponsored by ANT-EFRA DESIGN AND STYLISH.
Apr 14, 202121:36
E.P AS SHORT ALBUM ( EXTENDED PLAY)

E.P AS SHORT ALBUM ( EXTENDED PLAY)

karibu kusikiliza episode hii mpya ambayo nmu podcast tumekuandalia, Kwenye episode hii tumezungumzia, maana ya E.P kwa undani zaidi, Pia tumeenda mbali na kuonesha E.p inatakiwa kuwa na Miziki Mingapi na inatakiwa kuwa na dakika ngapi, Pia tumegusia jinsi ambavyo Platform mbalimbali za dunia uchukulia E.P pale msanii Anpoachia E.p.


Achilia mbali maan alisi ya E.P Tumeongela faida ambazo msanii anapata pale akiachia kazi zake katika mfumo wa E.P, Pia tumegusia Jinsi E.p Inavyofanya vizuri katika mahuzo ukilinganisha na album yenyewe, Swala la muda katika kuandaa E.P limeongelea kama sehemu ya faida pia swala la kupata content nyingi pale unapoachia E.p limeguswa kwa njia ya pekee.


kwa mengi ambayo ungependa kuyafahamu tegea sikio hii episode yetu ambayo tumekuandalia msikilizaji wetu, karibu.

Apr 07, 202120:10
WHY MOST ARTIST TEND TO RELEASE MUSIC ON FRIDAY...!!!

WHY MOST ARTIST TEND TO RELEASE MUSIC ON FRIDAY...!!!

Karibu tena kwenye episode nyingine ya NMU PODCAST kwenye episode hii tumeongelea, kwanini wanamuziki wengi upendelea kuachia nyimbo au kazi zao za mziki siku ya Ijumaa, Je Kunafaida inapelekea wafanye hivi? je ni kwamba Ijumaa hipo na bless Nyingi Kwa wasaniii, Je Yawezekana Mashabiki ndo upendelea hii siku au ni utaratibu umetokea tu, Vipi Hii kidunia imekaaje na wanaizungumziaja, kwa haya na mengine mengi sikiliza hii episode yetu mpya.


Tupate mtandaoni instagram. https://www.instagram.com/nextmusicuniverse/

Karibu Tuungane na Tujadiri kwa pamoja.

 



Feb 27, 202113:56
KWANINI AUDIO UTANGULIA KWANZA KULIKO VIDEO KWENYE MZIKI ..?

KWANINI AUDIO UTANGULIA KWANZA KULIKO VIDEO KWENYE MZIKI ..?

Kwenye Episode hii tumeongelea kwanini audio ndo utangulia kabla ya Video pale ambapo msanii anataka kuachia kazi, mala nyingi saana waga tunaona audio ndo inatangulia sana kwenye platform nyingi za mziki, kuyajua haya yote ungana nasi kwenye episode hii.

Feb 26, 202111:02
VALENTINE ADVENTURE IN NMU PODCAST

VALENTINE ADVENTURE IN NMU PODCAST

Karibu tena kwenye episode nyingine, kwenye episode hii tumeongelea namna ambavyo watu mbalimbali utumia muda wao kufurahia na kushrekea siku ya Valentine, Tumezoea na tumekuwa tukisikia kuwa Valentine day ni siku ya wapendanao...!!! je ni kwanmna gani wanashrekea Mwezi huu wa pili siku ya Tarehe 14 ......? majibu yote tumekuwekea kwenye Episode hii ya leo. Karibu kusikiliza 

Feb 06, 202124:48
KARIBU NMU PODCAST 2021 ITS NEW YEAR GOAL

KARIBU NMU PODCAST 2021 ITS NEW YEAR GOAL

Tunakukaribisha kwenye platform yetu hii ya NMU PODCAST na huu ni msimu mpya wa 2021 ambao utakuwa na mambo mengi mazuri na makubwa ambayo utaenjoy kutusikiliza na kutufatilia . karibu NMU PODCAST.

Feb 03, 202111:19
THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION FIVE (FINAL SESSION)

THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION FIVE (FINAL SESSION)

Karibu Kwnye final session ya The power of Music Beyond Entertainment,  Imekuwa wakati mzuri na session bora na wanafamilia ya nmu podcast, kwenye hii episode ya mwisho tumekusogezea mambo mengi ambayo mziki umekuwa na nafasi kubwa ya ushawishi na kuweza kuleta majibu postive kabisa .


kwenye hii session tumezungumzia mziki ambavyo umetumika kupigania HAKI na kuleta majibu chanya, hapa utasikia namna ambavyo baadhi ya wasanii wamekuwepo kuwa chombo cha kusemea kwa wanyonge na wananchi ambao hawana nafasi kubwa ya kupaza sauti, kwakutumia huu mziki na wasanii wake.


Pia utasikia Jinsi mwalimu Juliusi Kambarage Nyerere ambavyo pia ameutumia huu Mziki kupenyeza siasa na kuweza kuwashinda  wacoroni kwa kutumia majukwaa ya mziki, kwa kumtumia Bibi mmoja ambaye anaitwa BIBI TITI , Hapa ndo utajua ni kwa namna gani ambavyo mziki umekuwepo toka zamani na kuweza kuwezesha mambo mengi kuweza kufanikiwa .


Mbali na haya pia utapata kujua baadhi ya Quotes mbali mbali za watu mashuhuri kuhusu mziki na namna mziki umeweka harama kwnye jamii. 


Kwa haya na mengine mengi hembu tusikilize na tufatilie kwenye Podcast Stores zote na kuweza kuwa mwanafamilia wa NMU PODCAST.

Oct 31, 202036:24
BONUS FOR THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT

BONUS FOR THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT

Karibu kwenye familia .

Oct 30, 202005:08
THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION FOUR

THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION FOUR

Karibu Nmu Podcast Tuendelee na Topiki Yetu kama session nyingine zilizopita zimekuwa nawe zikikupasha juu ya Nguvu ya mziki, Karibu    tusikilize hapa Jinsi mziki Umekuwa sehemu Kubwa sana ya kukuza utamaduni na kusambaza tamaduni za mataifa mbalimbali Karibu.

Oct 19, 202014:05
THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION THREE

THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION THREE

Karibu kwenye episode Yetu hii mpya, Kwenye session 3 ya The power of music beyond entertainment, kwenye session hii tumeongelea kwa undani sana nguvu ya muziki nje ya burudani, kwa kuangazia upande wa siasa.

Oct 13, 202015:54
THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION TWO

THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION TWO

Karibu kwenye episode Yetu hii mpya, Kwenye session ya pili ya The power of music beyond entertainment, kwenye session hii tumeongelea kwa undani sana nguvu ya muziki nje ya burudani, kwa kuangazia upande wa mahusiano, Hapa tumeongelea jinsi mziki umekuwa nguzo muhimu na chombo muhimu kwenye mahusiano, ya kimapenzi , kiundugu pia na kuwa kiunganishi bora chenye kuleta maelewano mazuri baina ya wahusika.

Pia tumeenda mbali zaidi na kuona mziki huu ukitumika vizuri unavyoweza kuwa dawa , hapa utasikia ni kwanamna gani mziki unaondoa stress, kutumika kuwa moja ya sehemu ya kufanya secretion of dopamine Hormone kuzalishwa na kuweza kukuondolea kabisa stress, pia utasikia kuwa mziki unatumika kama Tiba kwa maana kwamba kuna operation ma hospitalini mpaka zifanyike kuna mziki au chombo cha mziki lazima kitumike na kumfanya mgonjwa ajisikie yupo kwenye utulivu mkubwa sana , tunasema concentration process ,


kwa haya na mengi ungana nasi kwenye episode hii na session hii Ya Pili uweze kuwa mmoja ya mwanafamilia wa NMU PODCAST Karibu.

Tupate mitandaoni @nextmusicuniverse
Sep 20, 202021:11
THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION ONE

THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT SESSION ONE

*THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT*
🌀session #1


Karibu Sana kwa mara nyingine Tena msikilizaji wa NMU PODICAST, ambapo leo tunakuletea mjadala Kuhusu *THE POWER OF MUSIC BEYOND ENTERTAINMENT*
hapa utapata kujua kwa mapana zaidi kuhusiana na ni kwa namna gani "mbali na kukupa burudani, muziki una nguvu kubwa Sana katika kuhamasisha, kuchochea na kuchagiza ufanikishaji wa mambo mengi Sana katika nyanja tofauti za kimaisha.

Hivyo Basi, katika epsode hii ya kwanza utapata ufafanuzi wa kina kabisa Kuhusu nguvu ya muziki katika mambo makuu mawili;

#1. *michezo(football)*
# *2.bishara na uwekezaji.*

....Hapa utapata majibu yote ikiwemo namna mziki ulivyo na impact kubwa katika michezo na biashara hapa Tz na duniani kiujumla.

Kwa hayo na mengine zaidi ungana na *Mr Ability* pamoja na *Martine* . Karibu
Sep 12, 202045:16
UNPACKING MENTORS AND BRAINSTORMING ON MUSIC INDUSTRY WITH LIGHTNESS & VAILETH

UNPACKING MENTORS AND BRAINSTORMING ON MUSIC INDUSTRY WITH LIGHTNESS & VAILETH

Kwenye hii episode Tumekaa na Lightness na Vaileth , kuzungumzia kiundani zaidi kuhusu mziki na tasinia kiujumla, kwenye hii episode wamegusa mambo mengi saana , zikiwemo changamoto wanazupitia wasanii wa kike kwenye kuwa mastaa wakubwa wa kimziki, wamezungumzia fashion inavyoenda, wameenda mbali zaidi na kugusia kuhusu mavideo vixens wanavyochukuliwa na jamii, lakini pia wametoa maoni yao juu ya wanavyoliona game la muziki wa Tanzania.


Kwa mengi zaidi Enjoy mazungumzo haya ambayo yapo kukupa wewe furaha na kukuacha na jambo lenye mchango chanya kwenye maisha ya kila siku.

Aug 29, 202047:51
MEET MOLLY PASSION (ARTIST) WITH HIS TRUMPET , TALKING ABOUT MUSIC EXPERIENCE session 2

MEET MOLLY PASSION (ARTIST) WITH HIS TRUMPET , TALKING ABOUT MUSIC EXPERIENCE session 2

Karibu kwenye episode hii , ambayo inakukutanisha na Molly Passion msanii wa muziki wa Bongo, ambaye anafanya mziki mzuri saana wa kisasa, Kupitia episode hii Molly passion ameweza kuzungumzia mziki na kazi yake ambayo amekuwa akiitilia Nguvu toka akiwa mdogo, Pia anayo kazi mpya ambayo inafanya vyema na ngoma hiyo inaitwa TRUMPET.

Kwenye hii episode ameshare mambo mengi kuhusu mziki wa bongo na experience yake kwenye industry Nzima, utapata kusikia Mengi saana na katika mengi hayo utapata kusikia.

1. Molly Passion ni nani?.

2.  Utapata kusikia Kuhusu game na industry nzima ya mziki Tanzania.

3. Utapata Kusikia Hustle za Ma upcoming artist wanavyopata changamoto katika kusogeza kazi zao na kuweza kupata nafasi ya maojiano kwenye vituo vikubwa vya redio.

4. Utapata kusikia Kuhusu Ngoma Ya molly passion ya Go down na mafanikio yake .

5. Utapata kusikia Maoni ya Molly Passion Kuhusu mziki wa Harmonise .

6. Utapata kusikia Maoni ya Molly passion kuhusu watangazaji kuhama Vituo vya redio moja kwenda redio Nyingine .

7. Utapata kusikia Kuhusu drama za wasanii wanao kuja wanapotumia Kiki ili kufikia mafanikio kwa haraka.

8. Utapata Kusikia BEEF kati ya Msanii na Radio presenter Zinavyokwamisha Game ya Bongo .

9.  Utasikia kuhusu Kuigana kwa Majina na Slogan katika kufanya mziki usonge Mbele.

10. Utapata Kusikia Kuhusu ngoma Ya Molly passion mpya ya Trumpet.

Kwa mengi saana tufatilie kwenye platforms zetu mitandaoni @nextmusicuniverse utaungana nasi moja kwa moja na kuwa mwanafamilia., Pia mfatilie Molly passion Kwenye mitandao ya kijamii kwa jina lake ilo kote.

Aug 18, 202035:50
MEET MOLLY PASSION (ARTIST) WITH HIS TRUMPET , TALKING ABOUT MUSIC EXPERIENCE session one

MEET MOLLY PASSION (ARTIST) WITH HIS TRUMPET , TALKING ABOUT MUSIC EXPERIENCE session one

Karibu kwenye episode hii , ambayo inakukutanisha na Molly Passion msanii wa muziki wa Bongo, ambaye anafanya mziki mzuri saana wa kisasa, Kupitia episode hii Molly passion ameweza kuzungumzia mziki na kazi yake ambayo amekuwa akiitilia Nguvu toka akiwa mdogo, Pia anayo kazi mpya ambayo inafanya vyema na ngoma hiyo inaitwa TRUMPET.

Kwenye hii episode ameshare mambo mengi kuhusu mziki wa bongo na experience yake kwenye industry Nzima, utapata kusikia Mengi saana na katika mengi hayo utapata kusikia.

1. Molly Passion ni nani?.

2.  Utapata kusikia Kuhusu game na industry nzima ya mziki Tanzania.

3. Utapata Kusikia Hustle za Ma upcoming artist wanavyopata changamoto katika kusogeza kazi zao na kuweza kupata nafasi ya maojiano kwenye vituo vikubwa vya redio.

4. Utapata kusikia Kuhusu Ngoma Ya molly passion ya Go down na mafanikio yake .

5. Utapata kusikia Maoni ya Molly Passion Kuhusu mziki wa Harmonise .

6. Utapata kusikia Maoni ya Molly passion kuhusu watangazaji kuhama Vituo vya redio moja kwenda redio Nyingine .

7. Utapata kusikia Kuhusu drama za wasanii wanao kuja wanapotumia Kiki ili kufikia mafanikio kwa haraka.

8. Utapata Kusikia BEEF kati ya Msanii na Radio presenter Zinavyokwamisha Game ya Bongo .

9.  Utasikia kuhusu Kuigana kwa Majina na Slogan katika kufanya mziki usonge Mbele.

10. Utapata Kusikia Kuhusu ngoma Ya Molly passion mpya ya Trumpet.

Kwa mengi saana tufatilie kwenye platforms zetu mitandaoni @nextmusicuniverse utaungana nasi moja kwa moja na kuwa mwanafamilia., Pia mfatilie Molly passion Kwenye mitandao ya kijamii kwa jina lake ilo kote.

Aug 18, 202033:20
THE POWER OF STORY TELLING IN MUSIC SESSION TWO..

THE POWER OF STORY TELLING IN MUSIC SESSION TWO..

Kwenye Episode hii Tumeongelea Nyimbo ambazo wasnii Nguli watatu wameweza kutumia adithi zenye ujumbe mzito na kuweza kuziweka kwenye Ngoma, Kwa namna nyingine Tunaweza kusema wasanii hawa wametumia simulizi ambazo zipo mtaani wa watu wanakumbana nazo kwenye maisha ya kawaida na wao wakaamua kuzitumiakatika Sanaa ya muziki na utunzi wenye mpangilio, hatimaye na wakatuletea ngoma au mziki unao ishi siku zote.

Kwenye part Hii ya Pili, Utaweza kusikia Namna ambavyo msanii Ferooz alivyoweza kuakisi na kusimulia Ugonjwa wa ukimwi na kuweza kuelezea na kufundisha jamii, madhara ya UKIMWI, Pia na kuweza kusambaza elimu kubwa ambayo ilikuwa Haijawafikia wengi san asana kwenye Taifa letu la Tanzania.

Tumeenda mbali Zaidi na kuona Mafanikio ya ngoma hii ambayo Feroozi alishirikiana na Professor Jay na kuweza kuacha Harama kwenye ulimwengu wa Muziki unao tumia simulizi na adithi kufikisha ujumbe.

Pia kwenye episode hii Utapata Kujua wimbo wa nikusaidieje wa Professor Jay pia ulivyotumia nguvu ya adithi na kuleta mapinduzi makubwa ya kifikira kwa wanaume, ya kwamba mwanamke bora anapatikana kijijini wala sio mjini na mambo mengine mengi.

Tumeweza kwenda mbali Zaidi na kuangalia wimbo wa msanii Diamond Platinum Wimbo wa Je Utanipenda, wimbo ambao umepata mafanikio makubwa kutokana nakile alichoweza kuakisi msanii Diamond, sana sana Kwenye upande wa kipato cha mwanaume Pale inapotokea Kutetelekakwenye uchumi na mambo kutokwenda sawa.

Kwa yote haya yameweza kuelezea na kuonesha nguvu ya adithi kwenye muziki, Endapo ikitumika na kuelezewa kwa ufasaa kabisa na Mwanamuziki au mwanafasii anaye ilisha jamii jambo la kusikika na kuweza kuleta mabadiriko.

Aug 06, 202030:27
THE POWER OF STORY TELLING IN MUSIC

THE POWER OF STORY TELLING IN MUSIC

Karibu kwenye Episode nyingine tena ambapo kwenye hii episode tumezungumzia Nguvu ya adithi na simulizi ndani ya muziki, Tumekuwa tukiona wasanii wengi wakijitaidi kutunga nyimbo mbali mbali zenye jumbe Muhimu sana , lakini kwenye upande wa kupromote na kuwafikishia wasikilizaji, jambo limekuwa tofauti na mtazamo wa wengi, kwenye episode hii Karibu tuanze mazungumzo haya ambayo bila shaka utaweza kuenjoy na kupata jambo jipya,  ambalo wewe kama ni msanii na mwandishi unaweza kufaidika na hatimaye ukafikisha kazi yako katika hatua nyingine kubwa . 


Karibu upate kusikiliza na kuenjoy episode hii, NMU PODCAST our voice is yours, Tupate mitandaoni @nextmusicuniverse ndo jina pekee tunalopatikana kwenye mitandao ya kijamii.

Jul 31, 202017:14
JUKWAA LA KUJITANGAZA AU JUKWAA LA KULIPWA

JUKWAA LA KUJITANGAZA AU JUKWAA LA KULIPWA

Karibu NMU PODCAST

Jul 09, 202001:00:01
THE CONNECTION BETWEEN FASHION AND MUSIC WITH PYRO POUNDS PART TWO

THE CONNECTION BETWEEN FASHION AND MUSIC WITH PYRO POUNDS PART TWO

Kwenye Episode hii, Tumekaa na kupiga story na mmoja wa wanamitindo anayekuja kwa kasi kwenye tasinia ya mitindo au fashion, PYRO POUND ameweza kushare mengi kuhusu mitindo na kuzungumza namna fashion inavyoweza kuchangia katika kumkuza msanii na Muziki wake, Mbali na hayo amezungumzia Pia kuhusu Brand yao ya ALTERNATIVE-CODES kama brand ya Nguo mbali mbali na kwa kuanza wameshazalisha aina mbalimbali za jinzi ambazo tiari zishaanza kupata masoko kwa watu mbalimbali,

Pia ikumbukwe ni Pyro Pound au JAPHET JASSON kama lilivyojina lake la pasipoti, ni Msomi wa mambo ya Bihashara aliyeitimu elimu yake na kupata degree ya Bihashara katika chuo cha Bihashara CBE Dar es salaam, kwa kulitambua ilo pia kwenye hii Episode ameweza kushare mengi kuhusu Bihashara na namna inavyokwenda kwenye Fshion lakini pia kwenye nyanja zote za bihashara.

Pia ameshare mapenzi yake kwenye muziki na kuonesha ni namna gani anvyoupenda mziki lakini pia akagusia mwanamziki anayemwangalia zaidi ambaye ni Diamond .

Jul 06, 202058:49
THE CONNECTION BETWEEN FASHION AND MUSIC WITH PYRO POUNDS PART ONE

THE CONNECTION BETWEEN FASHION AND MUSIC WITH PYRO POUNDS PART ONE

Kwenye Episode hii, Tumekaa na kupiga story na mmoja wa wanamitindo anayekuja kwa kasi kwenye tasinia ya mitindo au fashion, PYRO POUND ameweza kushare mengi kuhusu mitindo na kuzungumza namna fashion inavyoweza kuchangia katika kumkuza msanii na Muziki wake, Mbali na hayo amezungumzia Pia kuhusu Brand yao ya ALTERNATIVE-CODES kama brand ya Nguo mbali mbali na kwa kuanza wameshazalisha aina mbalimbali za jinzi ambazo tiari zishaanza kupata masoko kwa watu mbalimbali,

Pia ikumbukwe ni Pyro Pound au JAPHET JASSON kama lilivyojina lake la pasipoti, ni Msomi wa mambo ya Bihashara aliyeitimu elimu yake na kupata degree ya Bihashara katika chuo cha Bihashara CBE Dar es salaam, kwa kulitambua ilo pia kwenye hii Episode ameweza kushare mengi kuhusu Bihashara na namna inavyokwenda kwenye Fshion lakini pia kwenye nyanja zote za bihashara.

Pia ameshare mapenzi yake kwenye muziki na kuonesha ni namna gani anvyoupenda mziki lakini pia akagusia mwanamziki anayemwangalia zaidi ambaye ni Diamond Platinumz.

Jul 06, 202001:17:19